Image

MKULAZI HOLDING COMPANY LIMITED

Image
BODI YA NSSF YAKAGUA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA SUKARI CHA MKULAZI

BODI YA NSSF YAKAGUA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA SUKARI CHA MKULAZI

Bodi ya Wadhamini ya Shirika la  Taifa wa Hifadhi ya jamii (NSSF) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Ali Idi Siwa wamefanya ziara ya kikazi kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Kiwanda cha Sukari kilichopo Mbigiri Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro Machi  20, 2023.